Skip to content
November 17, 2025
URT Updates

URT Updates

Updates from the United Republic of Tanzania

Random News
Headlines
  • Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), uliyofanyika, Jijini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Mkutano huo ambao ulitanguliwa na vikao vya Wataalam, Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi pamoja na Kamati za Mawaziri wa Kisekta, ikiwemo Ulinzi, Madini na Jinsia, umebebwa na kauli mbiu ya “Uimarishaji wa Amani na Usalama kwa Maendeleo Endelevu katika Eneo la Maziwa Makuu” Kupitia kaulimbiu hiyo, nchi wanachama zimejadili hali ya usalama katika Ukanda wa Maziwa Makuu na kupendekeza njia za kuimarisha amani na usalama kwenye eneo hilo. Katika Mkutano huo, Tanzania inaunga mkono ajenda zote muhimu zilizojadiliwa ikiwemo ya amani na usalama na kusisitiza kuwa itaendelea kutoa mchango mkubwa kama inavyofanya katika nchi mbalimbali kuhakikisha kuwa amani ya kweli inapatikana kwenye Kanda hiyo. Katika Ufunguzi wa Mkutano huo, Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mhe. Felix Tshisekedi, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ushindi aliyoupata katika uchaguzi huru uliyofanyika mwezi Oktoba 2025. Aidha, nchi wanachama zimetakiwa kuenzi Mkataba ulioanzisha Jumuiya hiyo unaolenga kufikiwa kwa amani, usalama na maendeleo ya kweli kupitia ushirikiano, umoja na mshikamano bila kusahau kujitoa na kujituma kwa hali na mali kufanikisha

    TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA ICGLR KINSHASA CONGO

    2 days ago2 days ago
  • Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili jijini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kumwakilisha Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) uliopangwa kufanyika Novemba 15, 2025.

    MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. DKT. EMMANUEL NCHIMBI AMEWASILI JIJINI KINSHASA

    2 days ago2 days ago
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi, Mhe. Vladimir Putin, uliowasilishwa kwake na Mhe. Sergei Kiriyenko, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 06 Novemba, 2025.

    RAIS SAMIA SULUHU HASSAN APOKEA UJUMBE MAALUMU KUTOKA KWA RAIS WA URUSI VLADIMIR PUTIN

    2 weeks ago2 weeks ago
  • Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akikabidhiwa nyaraka mbalimbali za Ofisi ya Makamu wa Rais, kutoka kwa mtangulizi wake, Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, leo tarehe 04 Novemba 2025.

    DKT. NCHIMBI AKABIDHIWA OFISI

    2 weeks ago2 weeks ago
  • FAKE NEWS ALERT: PRESIDENT IBRAHIM TRAORÉ DID NOT TURN DOWN INVITATION FROM PRESIDENT SAMIA SULUHU HASSAN

    2 weeks ago2 weeks ago
  • WAZIRI KOMBO AKUTANA NA KATIBU MKUU WA IMO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA MASUALA YA BAHARI

    2 months ago2 months ago
  • BI. OMOLO APONGEZA WIZARA YA FEDHA NA TAASISI ZAKE KWA UTOAJI WA ELIMU MAONESHO YA NANENANE DODOMA

    3 months ago3 months ago
  • BALOZI WA TANZANIA NCHINI MSUMBIJI AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA BODI YA UTALII TANZANIA WATETA FURSA ZA UTALII

    1 year ago
  • WAZIRI SILAA AJA NA VIPAUMBELE KUWAHUDUMIA WATANZANIA SEKTA YA ARDHI

    1 year ago1 year ago
  • WAZIRI KAIRUKI AMPONGEZA RAIS SAMIA KUTOA MAGARI KWA KANDA ZOTE ZA TFS NCHINI, KUWA KINARA WA NISHATI SAFI AFRIKA

    1 year ago1 year ago
  • Home
  • 2023
  • November

November 2023

  • ECONOMIC DIPLOMACY
  • WIZARA YA FEDHA

TANZANIA NA SWEDEN, (GPE) (SIDA), ZIMESAINI MKATABA WA MSAADA WENYE THAMANI YA DOLA ZA MAREKANI MILIONI 84

Wambura Mwikabwe2 years ago2 years ago5 mins

Tanzania na Sweden, kupitia Taasisi ya Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) na Shirika la Kimataifa la Ushirikiano wa Kimaendeleo la…

Read More
  • COP28 UAE
  • RAIS SAMIA

RAIS DTK. SAMIA SULUHU AKIELEKEA DUBAI KUHUDHURIA MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA WA MABADILIKO YA TABIANCHI (COP28), TAREHE 30, NOVEMBA 2023.

Wambura Mwikabwe2 years ago2 years ago1 mins

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika uwanja…

Read More
  • COP28 UAE
  • RAIS SAMIA

TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA WA MABADILIKO YA TABIANCHI COP28 UAE

Wambura Mwikabwe2 years ago2 years ago1 mins
Read More
  • WAZIRI MKUU

SERIKALI KUJENGA KAMPASI 14 MIKOA YA PEMBEZONI

Wambura Mwikabwe2 years ago2 years ago4 mins

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali iko kwenye maandalizi ya awali ya ujenzi wa kampasi 14 mpya za vyuo vikuu…

Read More
  • MALIASILI NA UTALII
  • TAWA
  • UTALII

CP WAKULYAMBA ARIDHISHWA NA UTENDAJI WA TAWA, AIPONGEZA NA KUHIMIZA KULINDA MALIASILI ZA NCHI KWA UDI NA UVUMBA

Wambura Mwikabwe2 years ago2 years ago4 mins

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Kamishna Benedict Wakulyamba ameeleza kuridhishwa kwake na Kasi ya utendaji mzuri…

Read More
  • ECONOMIC DIPLOMACY
  • UWEKEZAJI
  • WIZARA YA FEDHA

UHOLANZI, KUPITIA SHIRIKA LAKE LA INVEST INTERNATIONAL, IMEIPATIA TANZANIA, MSAADA WA EURO MILIONI 30,

Wambura Mwikabwe2 years ago2 years ago5 mins

Uholanzi, kupitia Shirika lake la Invest International, imeipatia Tanzania, msaada wa euro milioni 30, sawa na zaidi ya shilingi bilioni…

Read More
  • ECONOMIC DIPLOMACY
  • MFA

SOKO LA KAHAWA, UFUTA LANUKIA ALGERIA

Wambura Mwikabwe2 years ago2 years ago2 mins

Balozi wa Tanzania nchini Algeria Mhe. Iman Njalikai amesema Chemba ya Biashara ya Algeria imedhamiria kununua kahawa na ufuta kutoka…

Read More
  • ECONOMIC DIPLOMACY
  • WIZARA USM

UTEKEKEZAJI ZIARA YA RAIS SAMIA NCHINI INDIA SEKTA YA UTAMADUNI WAANZA

Wambura Mwikabwe2 years ago2 years ago2 mins

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa, na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Uhusiano…

Read More
  • DIPLOMASIA
  • MFA

MHE. CAESAR WAITARA, BALOZI WA TANZANIA NCHINI NAMIBIA AMEMTEMBELEA MHE. JENELLY MATUNDU (MB), NAIBU WAZIRI WA UHUSIANO WA KIMATAIFA NA USHIRIKIANO WA NAMIBIA

Wambura Mwikabwe2 years ago2 years ago1 mins

Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amemtembelea Mhe. Jenelly Matundu (Mb), Naibu Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na…

Read More
  • RAIS SAMIA

RAIS DKT. SAMIA AREJEA DAR ES SALAAM KUTOKEA VISIWANI ZANZIBAR NA MELI YA MV KILIMANJARO 8

Wambura Mwikabwe2 years ago2 years ago1 mins

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wafanyakazi wa Meli ya MV Kilimanjaro 8…

Read More
  • 1
  • 2
  • 3
  • …
  • 10

Recent Comments

  1. cas on WAZIRI NDUMBARO ATETA NA WAANDAJI WA SHEREHE ZA UFUNGUZI AFL
  2. Wambura Mwikabwe on RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AMETUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA YA UDAKTARI WA FALSAFA
  3. Puzolee on RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AMETUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA YA UDAKTARI WA FALSAFA

Archives

  • November 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2024
  • May 2024
  • April 2024
  • March 2024
  • February 2024
  • January 2024
  • December 2023
  • November 2023
  • October 2023
  • September 2023

Categories

  • 78th UN anniversary
  • AFCON
  • AFDB BANK
  • AFL
  • AFRICAN HERITAGE
  • AFYA
  • Aga Khan
  • AIDS DAY
  • AIR TANZANIA
  • AMANI
  • Angola
  • ARUSHA NATIONAL PARK
  • AZAM MEDIA
  • BAKITA
  • BANK YA DUNIA
  • BARA LA AFRIKA
  • BARAZA LA KISWAHILI
  • BARAZA LA MAWIZIRI
  • BARAZA LA UTALII DUNIANI (WTTC)
  • BCEG
  • BENJAMINI MKAPA FAUNDATION
  • BIASHARA
  • BIBI TITI FESTIVAL
  • BODI YA UTALII
  • BOXING
  • BRANDING TANZANIA
  • BUNGENI DODOMA
  • CAF
  • CCM
  • CCM GEITA
  • CHAKULA
  • CHINA-TANZANIA
  • CHUO CHA MIPANGO
  • CLIMATE CHANGE
  • COP28 UAE
  • COSOTA
  • CRISTMASS
  • CUBA STATE VISIT
  • DEAF FAMILY FESTIVAL
  • DENMARK EMMBASSY TZ
  • DESTINATION TANZANIA
  • DHAHABU
  • DIPLOMACY
  • DIPLOMASIA
  • DKT. MIGULU NCHEMBA
  • DKT. MWIGULU
  • DKT. SALIM AHMED SALIM
  • DOHA
  • EAC
  • ECONOMIC DIPLOMACY
  • ECONOMY
  • EDWARD LOWASSA
  • EFD
  • ELIMU
  • ELIMU YA KODI
  • ENERGY
  • EPIC TANZANIA TOUR
  • ETHIOPIA STATE VISIT
  • EU TANZANIA
  • EXIM BANK FESTIVAL
  • FDI
  • FEDHA
  • FREE WI-FI
  • Gender
  • GERMAN
  • GERMAN PRESIDENT IN TANZANIA
  • GIMIS
  • GOFU
  • GWARIDE JWTZ
  • HAKI JINAI
  • HAKI MILIKI
  • HANANG MANYARA
  • HANDENI
  • HAWA AWARDS
  • HKMU UNIVERSITY
  • HONORIS CAUSA
  • HUDUMA ZA JAMII
  • HUMAN RIGHTS
  • ICGLR HEAD OF STSTE SUMMIT
  • ILANI YA CHAMA
  • INDIA
  • INDONESIA & TANZANIA
  • INVEST IN TANZANIA
  • INVESTMENT
  • JANETH MAGUFULI
  • JANUARY MAKAMBA
  • JESHI LA MAGEREZA
  • KAMALA HARRIS
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE
  • KAMISHENI JWTZ
  • KARUME
  • KATESH
  • KENYA UGANDA TANZANIA
  • KIGAMBONI DC
  • KILIMO
  • KISWAHILI DUNIANI
  • KODI
  • KOICA TZ
  • KONGAMANO
  • MAADILI YA KAZI
  • MADINI
  • MAENDELEO YA JAMII
  • MAFAO
  • MAFURIKO
  • MAHAFALI IFM
  • MAISHA BORA
  • MAJAJI
  • MAJI MAJI WAR
  • MAKAMU WA RAIS
  • MAKUYUNI WILDLIFE PARK
  • MALIASILI NA UTALII
  • MAPATO
  • MAPINDUZI DAY
  • MARATHON
  • MATEMBEZI YA AMANI
  • MATOKEO YA SENSA WANYAMA PORI
  • MAZINGIRA
  • MBEYA GIRLS
  • MCSL MARINE SERVICES COMPANY
  • MEI MOSI
  • MFA
  • MFA TANAZANIA SOUTH AFRICA
  • MIAKA 3 YA SAMIA
  • MIAKA 3 YA UONGOZI
  • MIAKA 50 NECTA
  • MIAKA 60 MUUNGANO
  • MIAKA 62 YA UHURU
  • MIAKA MITATU YA SAMIA
  • MICHAEL BLOOMBERG
  • MICHEZO
  • MIFUGO
  • MIKUMI NATIONAL PARK
  • MINING FORUM
  • MIOMBO
  • MITANDAO YA KIJAMII
  • MIUNDO MBINU
  • MKESHA WA KITAIFA 2023 2024 DUA MAALUMU
  • MSOMERA
  • NAIBU WAZIRI MKUU
  • NDONDI
  • NEC
  • NECTA
  • NeST
  • NEW APP
  • NGORONGORO
  • NISHATI
  • NISHATI SAFI
  • NMB BANK
  • NYERERE DAY
  • OFISI YA MAKAMU WA RAIS
  • OIL AND GAS
  • OPEN UNIVERSITY
  • PAUL KAGAME
  • PBZ ZANZIBAR
  • POLE
  • POPE FRANCIS
  • PPRA
  • PRESIDENT MUSEVEN
  • PRESIDENT OF ROMANIA
  • PRESIDENT SAMIA IN NORWAY
  • PRESTIGIOUS AWARD
  • QATAR
  • RAIS MWINYI
  • RAIS SAMIA
  • RAMADHAN BROTHERS
  • REGROW
  • RIADHA
  • ROYAL TOUR
  • RUSHWA
  • RUSSIA TANZANIA RELATIONS
  • SADC
  • sam Nujoma
  • SAMIA BIRTHDAY
  • SAMIA IN RWANDA
  • SAMIA IN VATICAN
  • SANAA
  • SANAMU YA NYERERE
  • SERENGETI NATIONALA PARK
  • SGR
  • SIKU YA MISITU DUNIANI
  • SIKU YA SHERIA
  • SIKU YA WAKUNGA DUNIANI
  • SIMBA & YANGA
  • SIMBA SC
  • SPIKA WA BUNGE
  • SPORTS
  • STATE VISIT
  • SUZA ZANZIBAR
  • TANAPA
  • TANZANIA NAMIBIA
  • TANZANIA PARADE
  • TANZANIA TOURISM BOARD
  • TANZANIATE BMT
  • TANZANITE
  • TATO
  • TAWA
  • TAWIRI
  • TEHAMA
  • TEKNOLOJIA
  • TEMBELEA TANZANIA
  • TEMESA
  • TFS
  • TIA
  • TOST
  • TOURISM
  • TRA
  • TRADE MARK AFRICA
  • TUZO
  • TUZO YA AMANI
  • TWENZETU KILELENI
  • UAPISHO
  • UAPISHO WA VIONGOZI
  • UCHUMI
  • UFUGAJI
  • UGANDA DELEGATES
  • UJENZI
  • UMOJA WA AFRIKA
  • UMOJA WA MATAIFA
  • Uncategorized
  • UNICEF
  • UNITED NATION
  • UNITED NATIONS
  • UONGOZI BORA
  • UPENDO FURAHA PENEZA
  • UTALII
  • UTALII KUSINI
  • UTAMADUNI
  • UTAMBULISHO WA VIONGOZI
  • UTIAJI SAINI
  • UTUMISHI
  • UTURUKI
  • UVUVI
  • UWEKEZAJI
  • VATCAN AMB
  • VIONGOZI WA DINI
  • VISIT TANZANIA
  • VISIT ZANZIBAR
  • WADAU WA MITANDAO
  • WAHITIMU TASUBA
  • WAKALA WA MAJENGO TBA
  • WAZEE
  • WAZIRI MKUU
  • WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS
  • WEF
  • WFP
  • WHO
  • WHO AFRICA
  • WIKI YA SHERIA
  • WIZARA USM
  • WIZARA YA ARDHI
  • WIZARA YA FEDHA
  • WIZARA YA HABARI
  • WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
  • WIZARA YA MAMBO YA NJE
  • WIZARA YA UJENZI
  • WIZARA YA VIWANDA
  • WORLD BANK
  • WORLD TRAVEL AWARD
  • YANGA AFRICANS
  • ZAMBIA
  • ZARA TOURS
  • ZIARA YA KITAIFA
URTUpdates.