
WAZIRI MKUU
Kassim Majaliwa_ leo Desemba 16, 2023 ameungana na Marais kutoka nchi sita barani Afrika kwenye sherehe za kumuapisha Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina.


WAZIRI MKUU
Kassim Majaliwa_ leo Desemba 16, 2023 ameungana na Marais kutoka nchi sita barani Afrika kwenye sherehe za kumuapisha Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina.