
Rais wa Serikali ya Mapinduzi na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe, Dkt Hussein Mwinyi amempokea Mgeni wake Rais wa Romania Mhe Klaus Iohannis Mapema lro alipowasili Kisiwani Zanzibar kwa ziara ya kikazi.


Rais wa Serikali ya Mapinduzi na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe, Dkt Hussein Mwinyi amempokea Mgeni wake Rais wa Romania Mhe Klaus Iohannis Mapema lro alipowasili Kisiwani Zanzibar kwa ziara ya kikazi.