
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akielekea kukagua eneo la Jorodom lililopo Katesh ambalo limeathirika vibaya na mafuriko pamoja na maporomoko ya matope na mawe Wilayani Hanang Mkoani Manyara tarehe 7 Desemba, 2023


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akielekea kukagua eneo la Jorodom lililopo Katesh ambalo limeathirika vibaya na mafuriko pamoja na maporomoko ya matope na mawe Wilayani Hanang Mkoani Manyara tarehe 7 Desemba, 2023