RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA VIONGOZI PAMOJA NA WAGENI MBALIMBALI KABLA YA KUZINDUA MCHAKATO WA UKUSANYAJI MAONI

Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mhe. Samia suluhu hassan akizungumza na viongozi pamoja na wageni mbalimbali kabla ya kuzindua mchakato wa ukusanyaji maoni kutoka kwa wananchi kuhusu dira ya taifa ya maendeleo 2050

Rais Samia alifanya uzinduzi huo wakati wa Maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *