Rais Samia Akutana na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JKT Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Ikulu ndogo ya Tunguu – Zanzibar, tarehe 06 Januari, 2026.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Share this content